Add your reply

Nice kwakweli nimeshawahi kupata chagamoto kama hiyo nilimaliza shule ya msingi sikufanya vizuli sana nikataka kulundia tena shule lakini sikufanikiwa nikaaa home kama mwenzi sita lakini anti akasema anakuja kunichukuwa tukakae arusha nikasema sawa nimekaa arusha mwenzi kama mitano nikaondoka kwenda dar nimekaa huko kama mwaka mmoja kwa kwa lafiki yake anti. Nilikuwa na fanya kazi za ndani ila hapo nilikuwa na ndoto yangu tuu ya kusoma nikwamwambia huyo dada kwamba nataka kusoma hakukataa akasema sawa nilianza kusoma shule za watu wazima nilisoma lakini huyo dada hakutaka me nisome aliazisha vulugu sana. Kunasiku nilienda shule nilipo Lundi home jion nilikuta maneno sana akaanza kunitukana sana half akanifukuza akaniambia nitoke nje na bengi langu la school sikukataa nikatoka nikamupigia ndungu yake momja hivi nikamwambia kuwa nimefukuzwa akasema nimusumbili anakuja nimekaa kidogo akaja akanichukuwa alipo nichukuwa nikaenda nae kwake nikaanza kusoma hivyo hivyo ila yeye alikuwa anakaa mbali sana na shule mpaka upande gara kwenda shule nauli nilikuwa sina ila alikuwa ananilipia namushukuru sana tumeenda ila na yeye alikuwa hana hata kazi ila alikuwa business humani maisha yalienda hivyo hivyo baada ya mda mfupi maisha yalitupiga sana nikawa siendi shule kwa sababu hela ya nauli hatuna me nikapotezea ila bado ndoto yangu ninayo sana ila maisha yametupiga sana nimeamua kuacha tuu sasa nipo tuu sina hata kazi nipo tuu ila nitakuwa sawa tuu nitafute hela kwanza shule nitaanza sun naombeni ushauli nifanye nn sasa

March 20, 2022, 8:25 p.m.